#

Mathematics

Kupitia walimu wenye uzoefu tunalifanya somo hili kuwa rahisi na kimbilio

Physics

Tutakufundisha kwa kupitia mifano na matukio halisia na utaona utofauti mkubwa.

Chemistry

Tutakufundisha kwa kupitia mifano na matukio halisia na utaona utofauti mkubwa.

Biology

Tutakufundisha kwa kupitia mifano na matukio halisia na utaona utofauti mkubwa.

Science & Technology

Tutakufundisha kwa kupitia mifano na matukio halisia na utaona utofauti mkubwa.

Computer & ICT

Tutakufundisha kwa kupitia mifano na matukio halisia na utaona utofauti mkubwa.

Msingi na Sekondari

Tumejikita katika kutoa elimu kuanzia elimu ya msingi darasa la tatu mpaka darasa la saba na sekondari kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita kwa kufuata mtaala wa Elimu ya Tanzania.Pia masomo yetu yamelenga katika tasnia ya hesabu, sayansi na tehama ili kuhakikisha tunakiandaa kizazi cha kesho vizuri katika masuala ya Sayansi na Tehama.